We are currently working on a new website.
Stay tuned for more information.

to stay updated on our progress.

Wednesday, August 28, 2019

Dkt Bashiru Ally akemea tabia hii ndani ya CCM


Katibu mkuu wa CCM, Dkt Bashiru Ally Kakurwa amesema hataki kusikia kikundi au umoja unaoitwa shirikisho la Walimu wa CCM.

Alisema Katiba ya CCM haionyeshi umoja huo popote unaojulikana kama shirikisho la Walimu,
alisema kuendelea kulea mambo haya mwisho litakuja shirikisho la Polisi na mashirikiano mengine.

Katibu mkuu amekemea tabia hiyo ya Walimu kwa kusema kama ni wanachama wa Chama cha Mapinduzi basi wafanye shughuli zao kupitia jumuiya zilizopo kikanuni na wabaki kufundisha.

No comments:

Post a Comment

Powered by Blogger.

Report Abuse

About Me

TAARIFA MPYA KUHUSU APP YETU KAMA BADO HUPATI HABARI ZETU

Habari!! Ni kipindi cha takribani wiki 1 kimepita ukiwa hupati habari, tunaomba radhi kwasababu tumekuwa tukifanya maboresho zaidi. Leo ...

Total Pageviews

Search This Blog

Blog Archive

Labels

Mobile Logo Settings

Mobile Logo Settings
image
recent/hot-posts

Random Posts

3/random/post-list

Recent Posts

3/recent/post-list