We are currently working on a new website.
Stay tuned for more information.

to stay updated on our progress.

Monday, August 5, 2019

Dk Mwakyembe azindua viwanja vya Simba Bunju

Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo Dk Harrison Mwakyembe leo amezindua viwanja vya mazoezi vya klabu ya Simba Bunju, nje kidogo ya jiji la Dar es saalam
Katika eneo hilo Simba itakuwa na viwanja viwili vya mazoezi, kimoja cha nyasi bandia na kingine nyasi asili
Pia kutakuwa na kituo cha Michezo
Hafla hiyo ya uwekaji jiwe la msingi imehudhuria na viongozi wa waandamizi wa klabu ya Simba wakiongozwa na Mwenyekiti wa Bodi ya Wakurugenzi, Mohammed Dewji 'Mo' na Afisa Mtendaji Mkuu wa Simba Crescentius Magori
Mashabiki wa Simba nao walijitokeza kwa wingi






No comments:

Post a Comment

Powered by Blogger.

Report Abuse

About Me

TAARIFA MPYA KUHUSU APP YETU KAMA BADO HUPATI HABARI ZETU

Habari!! Ni kipindi cha takribani wiki 1 kimepita ukiwa hupati habari, tunaomba radhi kwasababu tumekuwa tukifanya maboresho zaidi. Leo ...

Total Pageviews

Search This Blog

Blog Archive

Labels

Mobile Logo Settings

Mobile Logo Settings
image
recent/hot-posts

Random Posts

3/random/post-list

Recent Posts

3/recent/post-list