We are currently working on a new website.
Stay tuned for more information.

to stay updated on our progress.

Wednesday, August 21, 2019

Bongo Movie watoa ahadi hii kwa watanzania

Wasanii wa filamu za BongoMovie wakishirikiana na Miss Tanzania Elizabeth Makune, wamepanga kutengeneza filamu katika mbuga za wanyama za Serengeti na Ngorongoro.

Wakizungumza na waandishi wa habari makao makuu ya bodi ya utalii Tanzania mwenyekiti wa BongoMovie Steve Nyerere amesema, 
"Tunapenda kumshukuru Mh. Hamisi Kigwangalla kwa nafasi aliyotupa sisi wasanii, tunaenda kutengeneza filamu ambayo haijawahi kutokea katika mbuga za Serengeti na Ngorongoro, hili dodo tusiliache twendeni tukatengeneze filamu iliyo bora na tumsapoti Miss wetu". 
"Sisi kama wasanii hili ni jukumu letu na wajibu kwa sababu tukiangalia nchi kama Brazil inategemea uchumi wa utalii kwa unaweza kuona sekta ya utalii ilivyokuwa na umuhimu serikalini" Ben Kinyaiya.
Baadhi ya wasanii wengine waliokuwepo katika uzinduzi wa huo ni Dude, Johari, Ebitoke, Witness.
Uzinduzi kamili wa kampeni hiyo utaandelea siku ya tarehe 30 ya mwezi wa nane katika hotel ya Serena Jijini Dar es Salaam.
Mgeni rasmi wa uzinduzi huo atakuwa ni Waziri wa Utalii na Maliasili Mh.Hamisi Kigwangalla.

No comments:

Post a Comment

Powered by Blogger.

Report Abuse

About Me

TAARIFA MPYA KUHUSU APP YETU KAMA BADO HUPATI HABARI ZETU

Habari!! Ni kipindi cha takribani wiki 1 kimepita ukiwa hupati habari, tunaomba radhi kwasababu tumekuwa tukifanya maboresho zaidi. Leo ...

Total Pageviews

Search This Blog

Blog Archive

Labels

Mobile Logo Settings

Mobile Logo Settings
image
recent/hot-posts

Random Posts

3/random/post-list

Recent Posts

3/recent/post-list