We are currently working on a new website.
Stay tuned for more information.

to stay updated on our progress.

Wednesday, August 28, 2019

Aussems aomba sapoti ya mashabiki kuelekea mechi dhidi ya JKT Tanzania

Kocha Mkuu wa Simba Patrick Aussems amewataka mashabiki kuwaunga mkono ili kuhakikisha wanatetea taji la ligi kuu
Akizungumza katika mazoezi yaliyofanyika jana uwanja wa Gymkhana, Aussems alisema anajuwa huu ni wakati mgumu kwa kila Mwanasimba baada ya kutolewa kwenye michuano ya ligi ya mabingwa
Hata hivyo hawapaswi kuruhusu matokeo hayo yavuruge mipango mingine waliyojiwekea ambayo ni kutwaa taji la ligi kuu na FA
"Najua mashabiki wanavyojisikia, ni hali ambayo pia imetukumba sisi benchi la ufundi pamoja na wachezaji," alisema
"Tuliwapa wachezaji mapumziko ya siku moja ili waweze kurejea katika hali ya kawaida"
"Tumesahau matokeo hayo, sasa tunawajibu wa kukamilisha malengo yetu ya kutwaa mataji hayo mawili, tuna kikosi imara, tutaweza kufanikisha"
"Muhimu ni kwa mashabiki wetu kuwa nasi, wakati huu mgumu, wasituache, waendelee kutuunga mkono"
Kesho Alhamisi Simba itashuka kwenye uwanja wa Uhuru kuchuana na JKT Tanzania katika mchezo wa kwanza wa ligi kuu msimu huu

No comments:

Post a Comment

Powered by Blogger.

Report Abuse

About Me

TAARIFA MPYA KUHUSU APP YETU KAMA BADO HUPATI HABARI ZETU

Habari!! Ni kipindi cha takribani wiki 1 kimepita ukiwa hupati habari, tunaomba radhi kwasababu tumekuwa tukifanya maboresho zaidi. Leo ...

Total Pageviews

Search This Blog

Blog Archive

Labels

Mobile Logo Settings

Mobile Logo Settings
image
recent/hot-posts

Random Posts

3/random/post-list

Recent Posts

3/recent/post-list