We are currently working on a new website.
Stay tuned for more information.

to stay updated on our progress.

Thursday, July 4, 2019

YONDANI, ERASTO NYONI WASTAAFU SOKA TIMU YA TAIFA

Beki kisiki wa Yanga Kelvin Yondani ametangaza kustaafu kuichezea timu ya Taifa muda mfupi baada ya kurejea kutoka Misri
Yondani alikuwemo kwenye kikosi cha Stars kilichoshiriki michuano ya Afcon kwa mara ya pili katika historia mwaka huu
Stars imeshindwa kuvuka hatua ya makundi baada ya kufungwa michezo yote
Yondani ni mmoja wa wachezaji waliocheza timu ya Taifa kwa muda mrefu rekodi zikionyesha amecheza Stars kwa zaidi ya miaka 10
Ameungana na kiungo Erasto Nyoni ambaye naye ametangaza kustaafu 

No comments:

Post a Comment

Powered by Blogger.

Report Abuse

About Me

TAARIFA MPYA KUHUSU APP YETU KAMA BADO HUPATI HABARI ZETU

Habari!! Ni kipindi cha takribani wiki 1 kimepita ukiwa hupati habari, tunaomba radhi kwasababu tumekuwa tukifanya maboresho zaidi. Leo ...

Total Pageviews

Search This Blog

Blog Archive

Labels

Mobile Logo Settings

Mobile Logo Settings
image
recent/hot-posts

Random Posts

3/random/post-list

Recent Posts

3/recent/post-list