We are currently working on a new website.
Stay tuned for more information.

to stay updated on our progress.

Friday, July 12, 2019

Yanga kucheza mechi nne za kirafiki

Uongozi wa Yanga umesema timu itacheza michezo minne ya kujipima kabla ya kurejea jijini Dar es salaam kuhitimisha wiki ya Mwananchi ambayo tarehe yakeitatangazwa baadae

Kaimu Katibu Mkuu wa Yanga Dismas Ten amesema michezo hiyo itapigwa mkoani Morogoro na Dodoma
Mchezo wa mkoani Dodoma ni dhidi ya Dodoma Fc ambao utapigwa Julai 23
Michezo mingine itapigwa Julai 15, 19 na August 03

Ten amesema wataitumia michezo hiyo kuwapa fursa wakazi wa mikoa ya Morogoro, Dodoma na maeneo ya jirani kukishuhudia kikosi chao kipya
Amewataka mashabiki wasipoteze fursa hiyo kwa kujitokeza kwa wingi uwanjani kuiona timu yao
Yanga inaendelea kujifua mkoani Morogoro

No comments:

Post a Comment

Powered by Blogger.

Report Abuse

About Me

TAARIFA MPYA KUHUSU APP YETU KAMA BADO HUPATI HABARI ZETU

Habari!! Ni kipindi cha takribani wiki 1 kimepita ukiwa hupati habari, tunaomba radhi kwasababu tumekuwa tukifanya maboresho zaidi. Leo ...

Total Pageviews

Search This Blog

Blog Archive

Labels

Mobile Logo Settings

Mobile Logo Settings
image
recent/hot-posts

Random Posts

3/random/post-list

Recent Posts

3/recent/post-list