We are currently working on a new website.
Stay tuned for more information.

to stay updated on our progress.

Thursday, July 25, 2019

Waziri atoa maagizo mawili kwa IGP Sirro

Naibu Waziri wa Mambo ya Ndani Mhandisi Hamad Masauni, amemtaka Mkuu wa Jeshi la Polisi nchini IGP Simon Sirro, kuhakikisha ulinzi unaongezwa katika jengo jipya (Terminal 3) la uwanja wa ndege wa kimataifa wa  Julius Nyerere.

Akiongea leo Julai 25, 2019 alipotembelea eneo hilo, Masauni amesema ni wakati sasa vifaa vya kisasa vyenye uwezo wa kugundua bidhaa kama madini zinapopitishwa kinyemela zianze kutumika.
''Natoa maelekezo kwa IGP kuwa askari atakaowaleta hapa wawe wa kutosha na wenye sifa na uwezo wa kubaini bidhaa kama Madawa ya kulevya, Nyara za serikali na vitu vingine visivyopaswa kupita'', amesema.
Aidha ameeleza kuwa kwasababu kuna askari mbwa pia nao wanatakiwa kupelekwa wenye mafunzo stahiki, ili kuweza kuwatumia kubaini bidhaa zote ambazo hazitakiwi kupita bila uataratibu. 
Zaidi Tazama Video hapo chini

No comments:

Post a Comment

Powered by Blogger.

Report Abuse

About Me

TAARIFA MPYA KUHUSU APP YETU KAMA BADO HUPATI HABARI ZETU

Habari!! Ni kipindi cha takribani wiki 1 kimepita ukiwa hupati habari, tunaomba radhi kwasababu tumekuwa tukifanya maboresho zaidi. Leo ...

Total Pageviews

Search This Blog

Blog Archive

Labels

Mobile Logo Settings

Mobile Logo Settings
image
recent/hot-posts

Random Posts

3/random/post-list

Recent Posts

3/recent/post-list