Jana July 29, 2019 Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dr. John Pombe Magufuli amemteua Dr. Elirehema Joshua Doriye kuwa Mkurugenzi wa Shirika la Bima la Taifa (NIC), Doriye anachukua nafasi ya Sam Kamanga ambae uteuzi wake umetenguliwa.

Subscribe to our RSS feed to stay updated on our progress.
Habari!! Ni kipindi cha takribani wiki 1 kimepita ukiwa hupati habari, tunaomba radhi kwasababu tumekuwa tukifanya maboresho zaidi. Leo ...
No comments:
Post a Comment