We are currently working on a new website.
Stay tuned for more information.

to stay updated on our progress.

Thursday, July 11, 2019

Usajili wa CAF bila faini mwisho leo

Awamu ya kwanza ya dirisha la usajili kwa ajili ya michuano ya Shirikisho la soka barani Afrika (CAF) limefungwa leo
Kulingana na taarifa iliyotolewa na CAF, kuanzia kesho kwa timu zilizochelewa kuwasilisha majina ya vikosi vyao, zitalazimika kulipia dola 500 kwa kila mchezaji
Faini hiyo itaendelea kuongezeka hadi kufikia Julai 31 ambapo timu ambazo zitakuwa hazijawasilisha majina hazitaruhusiwa kushiriki michuano ya msimu ujao
Simba imetuma majina ya wachezaji 25 ikiwa na nafasi tano ambazo wanaweza kuzijaza kati ya sasa na kabla ya kuanza kwa hatua ya makundi

No comments:

Post a Comment

Powered by Blogger.

Report Abuse

About Me

TAARIFA MPYA KUHUSU APP YETU KAMA BADO HUPATI HABARI ZETU

Habari!! Ni kipindi cha takribani wiki 1 kimepita ukiwa hupati habari, tunaomba radhi kwasababu tumekuwa tukifanya maboresho zaidi. Leo ...

Total Pageviews

Search This Blog

Blog Archive

Labels

Mobile Logo Settings

Mobile Logo Settings
image
recent/hot-posts

Random Posts

3/random/post-list

Recent Posts

3/recent/post-list