We are currently working on a new website.
Stay tuned for more information.

to stay updated on our progress.

Wednesday, July 10, 2019

Shikalo kutua Yanga baada ya Kagame Cup

Uongozi wa Yanga umeshamalizana na Bandari Fc kuhusu usajili wa mlinda lango Farouq Shikalo ambaye sasa atajiunga na Yanga baada ya michuano ya Kagame kumalizika nchini Rwanda
Kocha Mkuu wa Bandari Fc Benard Mwalala ambaye ni mshambuliaji wa zamani wa Yanga, amethibitisha kuwa Shikalo atajiunga na Yanga baada ya michuano hiyo kumalizika
"Farouq atajiunga na Yanga baada ya michuano ya Kagame kumalizika, ni baada ya makubaliano kufikiwa"
"Klabu ya Bandari Fc inamtakia kila la kheri," imesema taarifa ya Mwalala
Yanga tayari imeanza mazoezi mkoani Morogoro kujiandaa na msimu mpya wa ligi kuu ya Tanzania Bara na michuano mbalimbali

No comments:

Post a Comment

Powered by Blogger.

Report Abuse

About Me

TAARIFA MPYA KUHUSU APP YETU KAMA BADO HUPATI HABARI ZETU

Habari!! Ni kipindi cha takribani wiki 1 kimepita ukiwa hupati habari, tunaomba radhi kwasababu tumekuwa tukifanya maboresho zaidi. Leo ...

Total Pageviews

Search This Blog

Blog Archive

Labels

Mobile Logo Settings

Mobile Logo Settings
image
recent/hot-posts

Random Posts

3/random/post-list

Recent Posts

3/recent/post-list