We are currently working on a new website.
Stay tuned for more information.

to stay updated on our progress.

Tuesday, July 9, 2019

RTO Arusha azuia gari “alilalamika tunataka rushwa, asituchafue amezidisha” (+video)

Mkuu wa Kikosi cha Usalama Barabarani Mkoa wa Arusha amelikamata gari la Kimotco linalofanya safari zake katika Wilaya ya Kiteto kwa kuzidisha abiria zaidi ya thelathini ambapo Mmiliki alidai kuonewa lakini leo baada ya gari yake kukamatwa alifurahia Polisi kufanya kazi.

No comments:

Post a Comment

Powered by Blogger.

Report Abuse

About Me

TAARIFA MPYA KUHUSU APP YETU KAMA BADO HUPATI HABARI ZETU

Habari!! Ni kipindi cha takribani wiki 1 kimepita ukiwa hupati habari, tunaomba radhi kwasababu tumekuwa tukifanya maboresho zaidi. Leo ...

Total Pageviews

Search This Blog

Blog Archive

Labels

Mobile Logo Settings

Mobile Logo Settings
image
recent/hot-posts

Random Posts

3/random/post-list

Recent Posts

3/recent/post-list