Mkuu wa Kikosi cha Usalama Barabarani Mkoa wa Arusha amelikamata gari la Kimotco linalofanya safari zake katika Wilaya ya Kiteto kwa kuzidisha abiria zaidi ya thelathini ambapo Mmiliki alidai kuonewa lakini leo baada ya gari yake kukamatwa alifurahia Polisi kufanya kazi.
We are currently working on a new website.
Stay tuned for more information.
Subscribe to our RSS feed to stay updated on our progress.
No comments:
Post a Comment