We are currently working on a new website.
Stay tuned for more information.

to stay updated on our progress.

Saturday, July 13, 2019

Rais Museveni aisifu Tanzania kwa Madini


Rais wa Uganda, Yoweri Museveni amesema kuwa Tanzania ina Madini mengi na Uganda kuna madini kadhaa. 

Museveni ametoa kauli hiyo Chato Mkoani Geita ambapo amesema nchi ya Uganda ilivumbua mafuta na gesi 

''Hapa Tanzania mko na madini mengi, vilevile Uganda kuna madini kadhaa na nyuma kidogo tulivumbua mafuta na gesi, bahati nzuri bomba la mafuta linapita hapa Chato hii ni ishara ya ushirikiano mkubwa,''  amesema Rais Museveni. 

Rais Museveni yupo amewasili leo ambapo yupo kwenye ziara binafsi ya siku 1. 

No comments:

Post a Comment

Powered by Blogger.

Report Abuse

About Me

TAARIFA MPYA KUHUSU APP YETU KAMA BADO HUPATI HABARI ZETU

Habari!! Ni kipindi cha takribani wiki 1 kimepita ukiwa hupati habari, tunaomba radhi kwasababu tumekuwa tukifanya maboresho zaidi. Leo ...

Total Pageviews

Search This Blog

Blog Archive

Labels

Mobile Logo Settings

Mobile Logo Settings
image
recent/hot-posts

Random Posts

3/random/post-list

Recent Posts

3/recent/post-list