We are currently working on a new website.
Stay tuned for more information.

to stay updated on our progress.

Saturday, July 13, 2019

Okwi aaga Simba, awataka wachezaji walinde rekodi

Mshambuliaji wa Kimataifa wa Uganda Emmanuel Okwi ametimkia Falme za Kiarabu ambapo amesajiliwa na Fujairah Fc inayoshiriki ligi kuu nchini humo
Licha ya kuondoka Simba, Okwi amewataka wachezaji wa timu hiyo walinde mafanikio yaliyopatikana msimu uliopita na pengine wavuke zaidi
Katika misimu miwili aliyocheza Simba, Okwi aliisaidia Simba kutwaa mataji mawili ya ligi kuu pamoja na kufika robo fainali michuano ya ligi ya mabingwa msimu uliopita
Mshambuliaji huyo amewaaga wachezaji wenzake kupitia ukurasa wao wa mtandao wa WhatsApp
Okwi amesema amejiunga na timu hiyo ya Arabuni kutokana na maslahi makubwa waliyompa

No comments:

Post a Comment

Powered by Blogger.

Report Abuse

About Me

TAARIFA MPYA KUHUSU APP YETU KAMA BADO HUPATI HABARI ZETU

Habari!! Ni kipindi cha takribani wiki 1 kimepita ukiwa hupati habari, tunaomba radhi kwasababu tumekuwa tukifanya maboresho zaidi. Leo ...

Total Pageviews

Search This Blog

Blog Archive

Labels

Mobile Logo Settings

Mobile Logo Settings
image
recent/hot-posts

Random Posts

3/random/post-list

Recent Posts

3/recent/post-list