We are currently working on a new website.
Stay tuned for more information.

to stay updated on our progress.

Wednesday, July 3, 2019

Nyota wa Yanga kuanza kuwasili wiki hii

Yanga inatarajiwa kuanza mazoezi ya maandalizi ya msimu mpya wa ligi kuu ya Tanzania Bara pamoja na michuano ya Kimataifa wiki ijayo, Julai 07 2019
Nyota wa zamani na wapya waliosajiliwa na mabingwa hao wa kihistoria wanatarajiwa kuanza kuwasili mwanzoni mwa wiki hii
Yanga inatarajiwa kuanza mazoezi ikiwa chini ya kocha Msaidizi Noel Mwandila
Kocha Mkuu Mwinyi Zahera bado yuko Misri na timu ya Taifa ya DR Congo baada ya timu hiyo kufuzu hatua ya 16 bora kupitia nafasi ya 'best looser'

No comments:

Post a Comment

Powered by Blogger.

Report Abuse

About Me

TAARIFA MPYA KUHUSU APP YETU KAMA BADO HUPATI HABARI ZETU

Habari!! Ni kipindi cha takribani wiki 1 kimepita ukiwa hupati habari, tunaomba radhi kwasababu tumekuwa tukifanya maboresho zaidi. Leo ...

Total Pageviews

Search This Blog

Blog Archive

Labels

Mobile Logo Settings

Mobile Logo Settings
image
recent/hot-posts

Random Posts

3/random/post-list

Recent Posts

3/recent/post-list