We are currently working on a new website.
Stay tuned for more information.

to stay updated on our progress.

Friday, July 12, 2019

Nyota wa kigeni Simba kutua leo

Wachezaji wa kigeni waliosajiliwa na Simba kwa ajili ya msimu ujao, wanatarajiwa kuanza kuwasili leo Ijumaa tayari kuelekea kambini kwa ajili ya maandalizi ya msimu mpya
Kocha Mkuu wa mabingwa hao wa Tanzania Bara mara mbili mfululizo Patrick Aussems alitarajiwa kuwasili nchini jana
Simba inatarajiwa kuondoka mwishoni mwa wiki kuelekea Afrika Kusini ambako itaweka kambi
Msemaji wa Simba Haji Manara amesema maandalizi ya kambi hiyo yako tayari na mpaka kufikia Jumatatu, timu itakuwa imeondoka Dar
Kikosi cha simba kilichosajiliwa msimu huu ni pamoja na Kagere, Shiboub, Francis Kahata, Tairone santos da silva, Person Fraga Viera, Wilker Henrique da silva, Deo Kanda, Ibrahim Ajibu, Beno Kakolanya na Kennedy Juma.
Wachezaji wengine ni John Bocco, Pascal Wawa, shomari Kapombe, Erasto Nyoni, Aishi Manula, Clatous Chama, Jonas Mkude, Rashid Juma, Mohamed Hussein ‘Tshabalala’ Hassan Dilunga, Said Ndemla na Mzamiru Yassin

No comments:

Post a Comment

Powered by Blogger.

Report Abuse

About Me

TAARIFA MPYA KUHUSU APP YETU KAMA BADO HUPATI HABARI ZETU

Habari!! Ni kipindi cha takribani wiki 1 kimepita ukiwa hupati habari, tunaomba radhi kwasababu tumekuwa tukifanya maboresho zaidi. Leo ...

Total Pageviews

Search This Blog

Blog Archive

Labels

Mobile Logo Settings

Mobile Logo Settings
image
recent/hot-posts

Random Posts

3/random/post-list

Recent Posts

3/recent/post-list