We are currently working on a new website.
Stay tuned for more information.

to stay updated on our progress.

Monday, July 8, 2019

NBS yatangaza mfumuko wa bei


Mfumuko wa bei kwa mwaka wa fedha ulioishia Juni 2019 umeongezeka hadi kufikia asilimia 3.7 kutoka asilimia 3.5 kwa mwaka unaoishia Mei 2019 nchini Tanzania.

Akizungumza leo Jumatatu Julai 8 2019, Mkurugenzi wa Takwimu wa Ofisi ya Taifa ya Takwimu, Daniel Masolwa amesema hiyo inamaanisha kuwa kasi ya mabadiliko ya bei ya bidhaa na huduma kwa mwaka ulioishia Juni 2019 imeongezeka ikilinganishwa na kasi iliyokuwepo kwa mwaka ulioishia Mei 2019.
Amesema kuongezeka kwa mfumuko wa bei wa Taifa kwa mwaka ulioishia Juni 2019 kumechangiwa na bei za bidhaa za vyakula na zisizokuwa za vyakula katika kipindi cha mwaka unaoishia Juni 2019

No comments:

Post a Comment

Powered by Blogger.

Report Abuse

About Me

TAARIFA MPYA KUHUSU APP YETU KAMA BADO HUPATI HABARI ZETU

Habari!! Ni kipindi cha takribani wiki 1 kimepita ukiwa hupati habari, tunaomba radhi kwasababu tumekuwa tukifanya maboresho zaidi. Leo ...

Total Pageviews

Search This Blog

Blog Archive

Labels

Mobile Logo Settings

Mobile Logo Settings
image
recent/hot-posts

Random Posts

3/random/post-list

Recent Posts

3/recent/post-list