We are currently working on a new website.
Stay tuned for more information.

to stay updated on our progress.

Tuesday, July 9, 2019

Naibu Waziri Mambo ya Ndani awafariji waliopoteza ndugu zao kwa kupigwa Risasi


Naibu Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi Mhandisi Hamadi Masauni, amefika katika kijiji cha Kihamba, halmashauri ya mji wa Nanyamba mkoani Mtwara na kuzungumza na wananchi waliopoteza ndugu zao kwa kupigwa Risasi na watu ambao hawajafahamika katika kijiji cha Mtole nchini Msumbiji.

Katika maelezo yake, Naibu waziri Masauni amewahikiiishia wananchi hao kuimarishwa kwa hali ya usalama katika maeneo hayo ya Mipakani pamoja na kuahidi kuwasaka na kuwakamata Wauaji hao waliowapiga Risasi na kuwaua Watanzania Kumi katika tukio la Juni 26 mwaka huu.

No comments:

Post a Comment

Powered by Blogger.

Report Abuse

About Me

TAARIFA MPYA KUHUSU APP YETU KAMA BADO HUPATI HABARI ZETU

Habari!! Ni kipindi cha takribani wiki 1 kimepita ukiwa hupati habari, tunaomba radhi kwasababu tumekuwa tukifanya maboresho zaidi. Leo ...

Total Pageviews

Search This Blog

Blog Archive

Labels

Mobile Logo Settings

Mobile Logo Settings
image
recent/hot-posts

Random Posts

3/random/post-list

Recent Posts

3/recent/post-list