We are currently working on a new website.
Stay tuned for more information.

to stay updated on our progress.

Sunday, July 28, 2019

MWINYI ZAHERA ATUA KAMBINI MOROGORO, SHANGWE KAMA LOTE

MWINYI Zahera Kocha Mkuu wa Yanga leo amewasili kambini Morogoro na kupokelewa kwa shangwe za kutosha na mashabiki wa mkoani Morogoro.
Zahera amerejea akitokea nchini Ufaransa ambapo alikuwa huko kwa likizo ya siku 13 baada ya kumaliza michuano ya Afcon na timu yake ya Taifa ya Congo akiwa ni kocha msaidizi.
Zahera atashuhudia kikosi chake leo kikimenyana na Mawenzi Market mchezo wa kirafiki maalumu kwa ajili ya maandalizi ya msimu ujao.

No comments:

Post a Comment

Powered by Blogger.

Report Abuse

About Me

TAARIFA MPYA KUHUSU APP YETU KAMA BADO HUPATI HABARI ZETU

Habari!! Ni kipindi cha takribani wiki 1 kimepita ukiwa hupati habari, tunaomba radhi kwasababu tumekuwa tukifanya maboresho zaidi. Leo ...

Total Pageviews

Search This Blog

Blog Archive

Labels

Mobile Logo Settings

Mobile Logo Settings
image
recent/hot-posts

Random Posts

3/random/post-list

Recent Posts

3/recent/post-list