We are currently working on a new website.
Stay tuned for more information.

to stay updated on our progress.

Tuesday, July 9, 2019

Mo Ibrahim ametolewa KMC kwa mkopo

Jina la kiungo Mohammed Inrahim 'Mo' halimo kwenye orodha ya kikosi cha Simba kwa ajili ya msimu ujao
Wengi wamejiuliza kama kiungo huyo ameachwa au la?
Ukweli ni kwamba Mo bado ni mchezaji wa Simba lakini ametolewa kwa mkopo kwenda klabu ya KMC
Mo bado ana mkataba wa mwaka mmoja na Simba
Lakini huenda akaondoka moja kwa moja baada ya mkataba wake kumalizika
Simba imemsajili winga Miraji Athumani ambaye ametajwa kuchukua nafasi ya Mo
Mchezaji mwingine aliyetolewa kwa mkopo ni mshambuliaji Adam Salamba

No comments:

Post a Comment

Powered by Blogger.

Report Abuse

About Me

TAARIFA MPYA KUHUSU APP YETU KAMA BADO HUPATI HABARI ZETU

Habari!! Ni kipindi cha takribani wiki 1 kimepita ukiwa hupati habari, tunaomba radhi kwasababu tumekuwa tukifanya maboresho zaidi. Leo ...

Total Pageviews

Search This Blog

Blog Archive

Labels

Mobile Logo Settings

Mobile Logo Settings
image
recent/hot-posts

Random Posts

3/random/post-list

Recent Posts

3/recent/post-list