Winga Yusufu Mhilu amesajiliwa na Kagera Sugar kwa mkataba wa mwaka mmoja
Msimu uliopita Mhilu alitolewa kwa mkopo kunako klabu ya Ndanda Fc
Hata hivyo kinda huyo hayumo kwenye mipango ya kocha Mwinyi Zahera hivyo uongozi wa Yanga kumruhusu akaendeleze maisha yake ya soka mahali pengine
Mhilu ameungana na Geofrey Mwashiuya, winga wa zamani wa Yanga ambaye ametua Kagera Sugar kwa mkataba wa mwaka mmoja pia

No comments:
Post a Comment