We are currently working on a new website.
Stay tuned for more information.

to stay updated on our progress.

Sunday, July 7, 2019

Manyika kuchukua nafasi ya Pondamali Yanga

Uongozi wa Yanga umeamua kulifanyia maboresho benchi lake la ufundi upande wa kocha wa makipa ambapo mlinda lango wa zamani wa timu hiyo Peter Manyika anatajwa kuchukua nafasi ya Juma Pondamali
Awali Yanga ilimuhitaji Razak Ssiwa kutoka Bandari Fc ya Kenya
Hata hivyo inaelezwa kumekuwa na ugumu kumpata mlinda lango huyo ambaye alikuwa akihusishwa kutua Yanga tangu msimu uliopita
Pondamali amekuwa kocha wa makipa wa Yanga kwa zaidi ya misimu minne
Manyika atakuwa na kazi ya kuhakikisha viwango vya walinda lango wa Yanga Farouq Shikalo, Metacha Mnata na Klaus Kindoki vinakuwa kwenye ubora wakati wote

No comments:

Post a Comment

Powered by Blogger.

Report Abuse

About Me

TAARIFA MPYA KUHUSU APP YETU KAMA BADO HUPATI HABARI ZETU

Habari!! Ni kipindi cha takribani wiki 1 kimepita ukiwa hupati habari, tunaomba radhi kwasababu tumekuwa tukifanya maboresho zaidi. Leo ...

Total Pageviews

Search This Blog

Blog Archive

Labels

Mobile Logo Settings

Mobile Logo Settings
image
recent/hot-posts

Random Posts

3/random/post-list

Recent Posts

3/recent/post-list