We are currently working on a new website.
Stay tuned for more information.

to stay updated on our progress.

Friday, July 5, 2019

Makonda apinga kustaafu kwa Yondani, Nyoni timu ya Taifa

Mkuu wa mkoa wa Dar es salaam Paul Makonda amepinga uamuzi wa wachezaji Kelvin Yondani na Erasto Nyoni kustaafu kuitumikia timu ya Taifa
Wachezaji hao walitangaza kustaafu kuichezea Stars muda mfupi baada ya Stars kuondoshwa michuano ya Afcon 2019 hatua ya makundi
Hata hivyo baada ya Stars kurejea nchini jana, Makonda alipinga hatua hiyo na kuwataka waendelee kulitumikia Taifa
Wachezaji hao wamekubali kuendelea kuichezea Stars
Yondani na Nyoni ndio wachezaji waliocheza timu ya Taifa kwa muda mrefu, wakiitumikia timu hiyo kwa zaidi ya miaka 11

No comments:

Post a Comment

Powered by Blogger.

Report Abuse

About Me

TAARIFA MPYA KUHUSU APP YETU KAMA BADO HUPATI HABARI ZETU

Habari!! Ni kipindi cha takribani wiki 1 kimepita ukiwa hupati habari, tunaomba radhi kwasababu tumekuwa tukifanya maboresho zaidi. Leo ...

Total Pageviews

Search This Blog

Blog Archive

Labels

Mobile Logo Settings

Mobile Logo Settings
image
recent/hot-posts

Random Posts

3/random/post-list

Recent Posts

3/recent/post-list