We are currently working on a new website.
Stay tuned for more information.

to stay updated on our progress.

Thursday, July 11, 2019

Kwasi anukia Biashara United

Simba tayari imekamilisha usajili wake wa safu ya ulinzi upande wa kushoto baada ya kumpa mkataba wa miaka miwili Gadiel Michael aliyekuwa Yanga
Ujio wa Gadiel umemuondoa kikosini beki Asante Kwasi ambaye mkataba wake unamalizika mwezi ujao
Hata hivyo Kwasi huenda akaendelea kubaki nchini baada ya kuwepo taarifa kuwa atajiunga na Biashara United inayonolewa na Amri Saidi
Amri aliwahi kufanya kazi na Kwasi wakati akiwa klabu ya Lipuli Fc

No comments:

Post a Comment

Powered by Blogger.

Report Abuse

About Me

TAARIFA MPYA KUHUSU APP YETU KAMA BADO HUPATI HABARI ZETU

Habari!! Ni kipindi cha takribani wiki 1 kimepita ukiwa hupati habari, tunaomba radhi kwasababu tumekuwa tukifanya maboresho zaidi. Leo ...

Total Pageviews

Search This Blog

Blog Archive

Labels

Mobile Logo Settings

Mobile Logo Settings
image
recent/hot-posts

Random Posts

3/random/post-list

Recent Posts

3/recent/post-list