We are currently working on a new website.
Stay tuned for more information.

to stay updated on our progress.

Friday, July 26, 2019

Kocha Ndairagije kamkabidhi kitambaa cha unahodha John Bocco

Kuelekea mchezo wa kimataifa wa timu ya taifa ya Tanzania Taifa Stars kuwania kufuzu kucheza michuano ya Afrika kwa wachezaji wanaocheza Ligi za ndani CHAN dhidi ya Kenya Jumapili ya July 28 2019.
Kaimu Kocha mkuu wa Taifa Stars Etienne Ndairagije amemtangaza nahodha wa Simba SC John Raphael Bocco kuwa nahodha wa kikosi hicho cha wachezaji wa ndani na wasaidizi wake ni Juma Kaseja, Kelvin Yondani na Erasto Nyoni.

John Bocco
Taifa Stars italazimika kupata matokeo chanya dhidi ya Kenya katika michezo miwili ya nyumbani na ugenini na ikifanikiwa kuitoa Kenya itacheza dhidi ya Sudan na kufuzu CHAN kama itapata matokeo mazuri.

No comments:

Post a Comment

Powered by Blogger.

Report Abuse

About Me

TAARIFA MPYA KUHUSU APP YETU KAMA BADO HUPATI HABARI ZETU

Habari!! Ni kipindi cha takribani wiki 1 kimepita ukiwa hupati habari, tunaomba radhi kwasababu tumekuwa tukifanya maboresho zaidi. Leo ...

Total Pageviews

Search This Blog

Blog Archive

Labels

Mobile Logo Settings

Mobile Logo Settings
image
recent/hot-posts

Random Posts

3/random/post-list

Recent Posts

3/recent/post-list