We are currently working on a new website.
Stay tuned for more information.

to stay updated on our progress.

Friday, July 12, 2019

Kapombe amaliza program binafsi ya mazoezi

Beki mahiri wa Simba Shomari Kapombe amemaliza program binafsi ya mazoezi aliyopewa mwezi uliopita ili kumuweka sawa kabla ya kurejea dimbani
Kapombe sasa yuko tayari kurejea uwanjani na ataungana na kikosi cha Simba ambacho kinatarajiwa kutimkia Afrika Kusini kuweka kambi
Kapombe amekuwa nje ya uwanja kwa zaidi ya miezi saba akiuguza majeraha ya kuvunjika mguu aliyopata akiwa na timu ya taifa mwezi Novemba mwaka jana
Alikuwa miongoni mwa wachezaji walioitwa kikosi cha Stars kwa ajili ya Afcon kabla ya jina lake kuondolewa kutokana na sintofahamu iliyojitokeza baina yake na benchi la ufundi kuhusu aina ya mazoezi ambayo alipaswa kupewa
Msimu ujao anatarajiwa kuongoza nafasi ya beki wa kulia hasa baada ya Simba kumtosa aliyekuwa mbadala wake Zana Coulibaly

No comments:

Post a Comment

Powered by Blogger.

Report Abuse

About Me

TAARIFA MPYA KUHUSU APP YETU KAMA BADO HUPATI HABARI ZETU

Habari!! Ni kipindi cha takribani wiki 1 kimepita ukiwa hupati habari, tunaomba radhi kwasababu tumekuwa tukifanya maboresho zaidi. Leo ...

Total Pageviews

Search This Blog

Blog Archive

Labels

Mobile Logo Settings

Mobile Logo Settings
image
recent/hot-posts

Random Posts

3/random/post-list

Recent Posts

3/recent/post-list