We are currently working on a new website.
Stay tuned for more information.

to stay updated on our progress.

Thursday, July 11, 2019

Kambi ya Simba Afrika Kusini yaiva

Kikosi cha Simba kinatarajiwa kuondoka jijini Dar es salaam mwishoni mwa wiki kuelekea Afrika Kusini kuweka kambi ya maandalizi ya msimu mpya wa ligi kuu ya Tanzania Bara pamoja na michuano ya Kimataifa
Kocha Mkuu wa mabingwa hao wa Tanzania Bara Patrick Aussems anatarajiwa kurejea nchini leo kuungana na nyota wa Simba ambao tayari wameanza kuwasili kutoka mapumziko
Simba inatarajiwa kujifua huko Afrika Kusini kwa takribani wiki tatu kabla ya kurejea nchini tayari kwa tukio la SIMBA DAY linalofanyika AUgust 08 ambalo hutumika kutambulisha kikosi
Awali Simba ilikuwa ikaweke kambi Ulaya, hata hivyo muda uliobaki kabla ya kuanza kwa msimu mpya ni chini ya wiki tano hivyo mabosi wa Simba kuamua kubadili kambi hiyo

No comments:

Post a Comment

Powered by Blogger.

Report Abuse

About Me

TAARIFA MPYA KUHUSU APP YETU KAMA BADO HUPATI HABARI ZETU

Habari!! Ni kipindi cha takribani wiki 1 kimepita ukiwa hupati habari, tunaomba radhi kwasababu tumekuwa tukifanya maboresho zaidi. Leo ...

Total Pageviews

Search This Blog

Blog Archive

Labels

Mobile Logo Settings

Mobile Logo Settings
image
recent/hot-posts

Random Posts

3/random/post-list

Recent Posts

3/recent/post-list