We are currently working on a new website.
Stay tuned for more information.

to stay updated on our progress.

Wednesday, July 3, 2019

Kahata kusaini mkataba wa miaka mitatu Simba

Simba tayari imeshamalizana na kiungo wa Gor Mahia Francis Kahata ambaye anasubiriwa kujiunga na Simba baada ya michuano ya Afcon
Taarifa za ndani zimebainisha kuwa Kahata atasaini mkataba wa miaka mitatu ambao utamfanya alipwe mshahara wa Tsh Milioni 7.7 kwa mwezi
Aidha kiungo huyo fundi amesajiliwa kwa dau la usajili linalofikia Tsh Milioni 90
Kahata atatua Simba kuchukua nafasi ya Mnyarwanda Haruna Niyonzima ambaye ameachwa

No comments:

Post a Comment

Powered by Blogger.

Report Abuse

About Me

TAARIFA MPYA KUHUSU APP YETU KAMA BADO HUPATI HABARI ZETU

Habari!! Ni kipindi cha takribani wiki 1 kimepita ukiwa hupati habari, tunaomba radhi kwasababu tumekuwa tukifanya maboresho zaidi. Leo ...

Total Pageviews

Search This Blog

Blog Archive

Labels

Mobile Logo Settings

Mobile Logo Settings
image
recent/hot-posts

Random Posts

3/random/post-list

Recent Posts

3/recent/post-list