We are currently working on a new website.
Stay tuned for more information.

to stay updated on our progress.

Wednesday, July 10, 2019

Kabwili arejeshwa kikosini Yanga

Mlinda lango Ramadhani Kabwili ametua mkoani Morogoro kujiunga na kikosi cha Yanga kinachojifua na maandalizi ya msimu mpya
Kurejeshwa kwa Kabwili kikosini kunamuweka kwenye hatihati mlinda lango Klaus Kindoki kwani Yanga itakuwa na walinda lango wanne
Awali Kabwili hakuwemo kwenye kikosi cha Yanga cha msimu ujao lakini kuibuka mazoezi kwa mlinda lango huyo kinda, kunamaanisha amerejeshwa
Yanga ina makipa wanne ambao ni Farouq Shikalo, Metacha Mnata, Klaus Kindoki na Ramadhani Kabwili

No comments:

Post a Comment

Powered by Blogger.

Report Abuse

About Me

TAARIFA MPYA KUHUSU APP YETU KAMA BADO HUPATI HABARI ZETU

Habari!! Ni kipindi cha takribani wiki 1 kimepita ukiwa hupati habari, tunaomba radhi kwasababu tumekuwa tukifanya maboresho zaidi. Leo ...

Total Pageviews

Search This Blog

Blog Archive

Labels

Mobile Logo Settings

Mobile Logo Settings
image
recent/hot-posts

Random Posts

3/random/post-list

Recent Posts

3/recent/post-list