We are currently working on a new website.
Stay tuned for more information.

to stay updated on our progress.

Monday, July 29, 2019

Juventus waisaka saini ya Romelu Lukaku kwa udi na uvumba, wapo tayari kuwapatia Man United mshambuliaji wao hatari

Miamba ya soka kutoka ligi ya Serie A, klabu ya Juventus imeripotiwa kuwa ipo tayari kumtoa mshambuliaji wao, Paulo Dybala kwa Mashetani Wekundu Manchester United ili kuweza kupata saini ya Romelu Lukaku ambaye pia anawindwa na timu ya Inter Milan.
Image result for lukaku to Juventus
Wakati dirisha la usajili likitarajiwa kufungwa Agosti 8, United inahaha kuhakikisha inapata mbadala wa Lukaku endapo ataondoka ndani ya timu hiyo.
Kwa mujibu wa Tuttosport, United inakaribia kufikia makubaliano na Juventus kwa kushuhudia Mbelgiji huyo akitimkia kwa vibibi vizee vya Turin huku Dybala akitua Old Trafford.
Monday's edition of Tuttosport covers the Romelu Lukaku story as Juventus make their move
Katika ukurasa wa mbele wa Tuttosport siku ya Jumatatu umegubikwa na picha ya Romelu Lukaku inayohusu stori ya kujiunga na Juventus.
Juventus have reportedly moved ahead of Inter in the race to sign United's Belgian striker
Juventus imeripotiwa kutaka kuipiku Inter kwa kumsajili nyota wa United raia wa Ubelgiji Romelu Lukaku
Juventus believe they can tempt United into a deal by offering Paulo Dybala in exchange
Ingawaje Inter Milan imekuwa kivutiwa na usajili wa Lukaku katika kipindi chote wameshindwa kutoa pauni milioni 80 kwa United na badala yake wakatoa milioni 54 na kukataliwa.
Lukaku speaks to Inter Milan manager Antonio Conte during last week's match in Singapore
Lukaku akizungumza na kocha wa Inter Milan, Antonio Conte katika mechi za wiki kadhaa zilizopita jijini Singapore
Dybala scored for Juventus against Manchester United in last season's Champions League
Dybala akishangilia baada ya kuipatia Juventus bao kwenye mechi dhidi ya Manchester United mchezo wa Champions League msimu uliyopita.
Nyota huyo wa Argentine mwenye umri wa miaka 25, Dybala amefunga jumla ya mabao 78 katika michezo 182 aliyocheza akiwa na Juventus

No comments:

Post a Comment

Powered by Blogger.

Report Abuse

About Me

TAARIFA MPYA KUHUSU APP YETU KAMA BADO HUPATI HABARI ZETU

Habari!! Ni kipindi cha takribani wiki 1 kimepita ukiwa hupati habari, tunaomba radhi kwasababu tumekuwa tukifanya maboresho zaidi. Leo ...

Total Pageviews

Search This Blog

Blog Archive

Labels

Mobile Logo Settings

Mobile Logo Settings
image
recent/hot-posts

Random Posts

3/random/post-list

Recent Posts

3/recent/post-list