We are currently working on a new website.
Stay tuned for more information.

to stay updated on our progress.

Wednesday, July 10, 2019

IGP Sirro awaonya Bodaboda


Mkuu wa Jeshi la Polisi IGP Simon Sirro, amewataka askari kuhakikisha wanaongeza mapambano dhidi ya vitendo vya uhalifu ikiwemo ujambazi, vinavyojitokeza hususan katika mkoa wa Geita.

IGP Sirro ameyasema hayo akiwa anazungumza na askari wa kikosi maalum cha kupambana na uhalifu katika mkoa huo.

Wakati huo huo akiwa mkoani Shinyanga, IGP Sirro amewaonya madereva wa pikipiki maarufu bodaboda kuhakikisha wanavaa kofia ngumu (Helmet) wakati wote wanapotumia chombo cha moto, kuwa na leseni sambamba na kuheshimu sheria za usalama barabarani ili kuepusha ajali zinazoweza
kuepukika.

Akiwa mkoani Shinyanga, pia IGP Sirro amekutana na kuzungumza na baadhi ya wananchi wa Shinyanga mjini na kuwataka kuendelea kushirikiana na Jeshi la Polisi na hasa kwa kutoa taarifa sahihi za uhalifu na wahalifu. 

No comments:

Post a Comment

Powered by Blogger.

Report Abuse

About Me

TAARIFA MPYA KUHUSU APP YETU KAMA BADO HUPATI HABARI ZETU

Habari!! Ni kipindi cha takribani wiki 1 kimepita ukiwa hupati habari, tunaomba radhi kwasababu tumekuwa tukifanya maboresho zaidi. Leo ...

Total Pageviews

Search This Blog

Blog Archive

Labels

Mobile Logo Settings

Mobile Logo Settings
image
recent/hot-posts

Random Posts

3/random/post-list

Recent Posts

3/recent/post-list