We are currently working on a new website.
Stay tuned for more information.

to stay updated on our progress.

Friday, July 5, 2019

Golikipa wa Singida United asajiliwa na Gor Mahia ya Kenya


Golikipa wa Singida United, David Kissu amesaini kandarasi ya miaka mitatu ya kuitumikia klabu ya Gor Mahia ya nchini Kenya.

Mkurugenzi wa Singida United Festo Sanga amesema kuwa wanamshukuru Mungu kwa kijana wao Kissu kupata nafasi ya kwenda kucheza soka la kulipwa kwenye klabu kubwa Nchini Kenya na Africa Mashariki.

"Tunashukuru mchezaji wetu kupata nafasi hii ya kwenda kucheza Gor Mahia na huu ni mwendelezo wa klabu yetu kuwaruhusu na kuwatafutia nafasi wachezaji wetu kucheza kwenye klabu kubwa kuliko sisi ndani na nje ya nchi" Sanga

No comments:

Post a Comment

Powered by Blogger.

Report Abuse

About Me

TAARIFA MPYA KUHUSU APP YETU KAMA BADO HUPATI HABARI ZETU

Habari!! Ni kipindi cha takribani wiki 1 kimepita ukiwa hupati habari, tunaomba radhi kwasababu tumekuwa tukifanya maboresho zaidi. Leo ...

Total Pageviews

Search This Blog

Blog Archive

Labels

Mobile Logo Settings

Mobile Logo Settings
image
recent/hot-posts

Random Posts

3/random/post-list

Recent Posts

3/recent/post-list