We are currently working on a new website.
Stay tuned for more information.

to stay updated on our progress.

Saturday, July 13, 2019

Faida za kushirikisha wazazi kutafuta mchumba

Tumezoea katika miaka ya hivi sasa kuona vijana wanajitafutia wenyewe wapenzi wao na kisha kuwatambulisha kwa wazazi baada ya kukubaliana.

Lakini miaka kadhaa iliyopita hakukuwepo na mambo kama hayo kutokana na kukomaa kwa mila na desturi za makabila.
Katika kipindi cha DADAZ cha EATV, imezungumzwa mada iliyohusu umuhimu wa kuwashirikisha wazazi katika namna ya kutafuta wachumba na kufunga ndoa, ambapo mageni, 'Pasto' Naomi Mhamba ambaye ni mzazi na mshauri wa mahusiano amezungumzia kwa kina katika kipengele cha 'Mtu kati'.
Pastor Naomi amesema kuwa ni muhimu wazazi kushirikishwa kwakuwa wamepewa dhamana na Mungu katika kuwalea watoto hadi wanakua. Sababu nyingine ambayo mzazi wanapaswa kushirikishwa ni kutokana na kwamba wanawafahamu watoto wao vizuri kuliko mtu mwingine yoyote.
Mtazame hapa chini akizungumzia sababu zingine ambazo zinaelezea umuhimu wa wazazi kushirikishwa katika mahusiano ya watoto wao.

No comments:

Post a Comment

Powered by Blogger.

Report Abuse

About Me

TAARIFA MPYA KUHUSU APP YETU KAMA BADO HUPATI HABARI ZETU

Habari!! Ni kipindi cha takribani wiki 1 kimepita ukiwa hupati habari, tunaomba radhi kwasababu tumekuwa tukifanya maboresho zaidi. Leo ...

Total Pageviews

Search This Blog

Blog Archive

Labels

Mobile Logo Settings

Mobile Logo Settings
image
recent/hot-posts

Random Posts

3/random/post-list

Recent Posts

3/recent/post-list