We are currently working on a new website.
Stay tuned for more information.

to stay updated on our progress.

Thursday, July 4, 2019

Dodoma : Kijana amlawiti mama yake mzazi

Jeshi la Polisi mkoani Dodoma linamshikilia kijana mmoja aliyefahamika kwa jina la Mazengo Chati kwa kumlawiti mama yake mzazi akiwa hajitambui, katika Kijiji cha Manchali wilayani Chamwino, jambo ambalo ni kinyume kwa mujibu wa sheria za Tanzania.

Kamanda Muroto ametoa taarifa hiyo jijini Dodoma wakati akizungumza na waandishi wa habari ambapo alieleza kijana Mazengo Chati mwenye umri wa miaka 28, amembaka mama yake mzazi mwenye miaka 56 na ametenda kosa hilo kwa madai ya ulevi pamoja na imani za kishirikina.
Kamanda Muroto amesema kuwa "tukio la kijana Mazengo limetokea katika Kijiji cha Manchali ambapo kijana huyo alimlawiti mama yake mzazi akiwa hajitambui, na kwa sasa tunamshikilia kwa ajili ya kumfikishwa mahakamani"
Aidha Kamanda huyo amesema kuwa Jeshi la Polisi mkoani Dodoma linawashikilia watu wengine wawili, kwa makosa ya ulawiti na ubakaji wa watoto na wazee huku mtuhumiwa mmoja akiuawa na wananchi wenye hasira kali, baada ya kukutwa akiwa anambaka mwanafunzi wa miaka nane.

No comments:

Post a Comment

Powered by Blogger.

Report Abuse

About Me

TAARIFA MPYA KUHUSU APP YETU KAMA BADO HUPATI HABARI ZETU

Habari!! Ni kipindi cha takribani wiki 1 kimepita ukiwa hupati habari, tunaomba radhi kwasababu tumekuwa tukifanya maboresho zaidi. Leo ...

Total Pageviews

Search This Blog

Blog Archive

Labels

Mobile Logo Settings

Mobile Logo Settings
image
recent/hot-posts

Random Posts

3/random/post-list

Recent Posts

3/recent/post-list