We are currently working on a new website.
Stay tuned for more information.

to stay updated on our progress.

Wednesday, July 3, 2019

DIDA KUTIMKIA HUKU

BAADA ya mlinda mlango namba mbili wa Simba, Deogratius Munishi ‘Dida’ kuwaaga mashabiki wa Simba, sasa huenda akarejea kukipiga tena Afrika Kusini.

Dida alisajiliwa na Simba akitokea Amatuks ya Afrika Kusini kwa kandarasi ya mwaka mmoja ambayo tayari imemalizika.

Habari zimeeleza kuwa Dida ambaye ameshaaga ndani ya kikosi hicho baada ya ujio wa kipa Beno Kakolanya ameamua kutimka moja kwa moja kurejea Afrika Kusini.

No comments:

Post a Comment

Powered by Blogger.

Report Abuse

About Me

TAARIFA MPYA KUHUSU APP YETU KAMA BADO HUPATI HABARI ZETU

Habari!! Ni kipindi cha takribani wiki 1 kimepita ukiwa hupati habari, tunaomba radhi kwasababu tumekuwa tukifanya maboresho zaidi. Leo ...

Total Pageviews

Search This Blog

Blog Archive

Labels

Mobile Logo Settings

Mobile Logo Settings
image
recent/hot-posts

Random Posts

3/random/post-list

Recent Posts

3/recent/post-list