We are currently working on a new website.
Stay tuned for more information.

to stay updated on our progress.

Tuesday, July 9, 2019

BREAKING: Gadiel asaini miaka miwili Simba

Aliyekuwa beki wa kushoto wa Yanga Gadiel Michael ametambulishwa rasmi baada ya kusaini mkataba wa miaka miwili
Usajili wa Gadiel ulikuwa ukisubiri utambulisho tu kwani kila kitu kilishakamilika
Usajili huo umekamilisha safu ya ulinzi upande wa kushoto Gadiel akichukua nafasi ya Asante Kwasi

No comments:

Post a Comment

Powered by Blogger.

Report Abuse

About Me

TAARIFA MPYA KUHUSU APP YETU KAMA BADO HUPATI HABARI ZETU

Habari!! Ni kipindi cha takribani wiki 1 kimepita ukiwa hupati habari, tunaomba radhi kwasababu tumekuwa tukifanya maboresho zaidi. Leo ...

Total Pageviews

Search This Blog

Blog Archive

Labels

Mobile Logo Settings

Mobile Logo Settings
image
recent/hot-posts

Random Posts

3/random/post-list

Recent Posts

3/recent/post-list