We are currently working on a new website.
Stay tuned for more information.

to stay updated on our progress.

Thursday, June 6, 2019

Wanakijiji wamfukuza mwanakijiji mwenzao

Wananchi wa kijiji cha Itunduma wilayani Njombe  wameazimia kumfukuza kijijini hapo Ang'emelye Wikechi, kwa kile kinachoelezwa kuwa amekuwa ni chanzo cha uvunjifu wa amani kijijini hapo.
Hatua hiyo inakuja kufuatia wananchi hao Kugoma kufanya shughuli za maendeleo wakimshinikiza mkuu wa wilaya ya Njombe, Ruth Msafiri, kufika kijijini hapo ili kutoa tamko la mwisho juu ya raia huyo.
Moja ya tuhuma kubwa zilizoelekezwa kwa Wikechi na wanakijiji wenzake, anadaiwa kunyang'anya na kujimilikisha ardhi ya kijiji na maeneo mengine ambayo ni mali ya taasisi.
Pamoja na hayo Ang'emelye anadaiwa kutishia maisha ya wananchi wenzake ambao wamekuwa wakihoji juu ya maovu anayofanya kijijini hapo. 

No comments:

Post a Comment

Powered by Blogger.

Report Abuse

About Me

TAARIFA MPYA KUHUSU APP YETU KAMA BADO HUPATI HABARI ZETU

Habari!! Ni kipindi cha takribani wiki 1 kimepita ukiwa hupati habari, tunaomba radhi kwasababu tumekuwa tukifanya maboresho zaidi. Leo ...

Total Pageviews

Search This Blog

Blog Archive

Labels

Mobile Logo Settings

Mobile Logo Settings
image
recent/hot-posts

Random Posts

3/random/post-list

Recent Posts

3/recent/post-list