Kikosi cha Simba kiko Misungwi mkoani Mwanza ambapo kesho kitashiriki hafla ya uzinduzi wa uwanja wa kisasa unaomilikiwa na Gwambina Fc inayoshiriki ligi daraja la kwanza
Uwanja huo wa kisasa umewavutia wadau ambao wameushauri uongozi wa Simba kuharakisha ujenzi wa uwanja wa Bunju
Mchezo dhidi ya Gambina Fc utapigwa kesho Ijumaa saa kumi jioni na utarushwa mbarashara na Azam Sprt 2

No comments:
Post a Comment