We are currently working on a new website.
Stay tuned for more information.

to stay updated on our progress.

Thursday, June 6, 2019

Mtoto wa Messi kiboko anamtania baba yake kutolewa na Liverpool

Nahodha wa FC Barcelona na timu ya taifa ya Argentina Lionel Messi inaonekana ni miongoni mwa wazazi ambao wanaachia watoto wao wafanye au washabikie kile kitu ambacho wanakipenda.
Lionel Messi akihojiwa na TYC ameongea maisha ya familia yake na watoti wake kuwa mwanae akiwa anacheza nae nyumba alimtania baba yake kuwa yeye ni shabiki wa Liverpool kwa sababu wamemfunga baba yake.
“Tulikuwa tunacheza na mwanangu (Thiago) nyumbani akaniambia kuwa yeye ni shabiki wa Liverpool kwa sababu wamenifunga mimi”>>>>>Lionel Messi
Lionel Messi na mke wake Antonio wamebarikiwa kupata watoto watatu wa kiume Thiago, Mateo na Ciro lakini hivi karibuni Barcelona walitolewa nusu fainali ya Champions League na Liverpool baada ya kushinda 3-0 nyumbani na walipoenda Anfield wakafungwa 4-0.

No comments:

Post a Comment

Powered by Blogger.

Report Abuse

About Me

TAARIFA MPYA KUHUSU APP YETU KAMA BADO HUPATI HABARI ZETU

Habari!! Ni kipindi cha takribani wiki 1 kimepita ukiwa hupati habari, tunaomba radhi kwasababu tumekuwa tukifanya maboresho zaidi. Leo ...

Total Pageviews

Search This Blog

Blog Archive

Labels

Mobile Logo Settings

Mobile Logo Settings
image
recent/hot-posts

Random Posts

3/random/post-list

Recent Posts

3/recent/post-list