We are currently working on a new website.
Stay tuned for more information.

to stay updated on our progress.

Thursday, June 20, 2019

Mbunge ahoji ushuru wa nywele bandia kupandishwa 'Kwanini wasichague bidhaa ya Wanaume?'

Mbunge wa Viti Maalum (CHADEMA), Suzan Lyimo  amewataka Wabunge wanawake kuandamana baada ya bajeti Kuu ya serikali  kuongeza  ushuru wa nywele bandia (mawigi) wa asilimia 10 kwa bidhaa za nywele bandia zinazozalishwa nchini na asilimia 25 kwa bidhaa zinazoagizwa kutoka nje nchi.

Lyimo amesema kuwa anaona bajeti hiyo haina gender balance kwanini haijatafuta bidhaa ya wanaume waiwekee kodi? wanachagua bidhaa za wanawake?

"Mawigi ni bidhaa kwaajili ya wanawake. Kuna watu "naturally" hawana nywele, wana vipilipili hivyo ni lazima wavae mawigi, nilitegemea wabunge wanawake tuandamane kupinga hii bajeti, imekuwa "gender insensitive" hasa suala la pedi kurudishiwa kodi,"alisema Lyimo.

Hata hivyo, Mbunge huyo alitoa mfano wa baadhi ya Wabunge waliovaa mawigi walivyopendeza huku akimtaka Naibu Spika kuwaangalia

No comments:

Post a Comment

Powered by Blogger.

Report Abuse

About Me

TAARIFA MPYA KUHUSU APP YETU KAMA BADO HUPATI HABARI ZETU

Habari!! Ni kipindi cha takribani wiki 1 kimepita ukiwa hupati habari, tunaomba radhi kwasababu tumekuwa tukifanya maboresho zaidi. Leo ...

Total Pageviews

Search This Blog

Blog Archive

Labels

Mobile Logo Settings

Mobile Logo Settings
image
recent/hot-posts

Random Posts

3/random/post-list

Recent Posts

3/recent/post-list