We are currently working on a new website.
Stay tuned for more information.

to stay updated on our progress.

Friday, June 21, 2019

Kuelekea AFCON 2019: Hassan Kessy huru kukipiga dhidi ya Senegal


Shirikisho la soka barani Africa CAF limemuondolea adhabu ya kukosa mchezo wa kwanza wa AFCON dhidi ya Senegal mlinzi wa kulia wa Taifa Stars Hassan Kessy Ramadhan baada ya kubainika kuwa hakuwa na kadi tatu za njano kama ilivyoelezwa awali.

Akizungumza na Azam TV kocha wa Stars, Emmanuel Amunike amesema swala hilo limeshawekwa sawa baada ya TFF kuomba ufafanuzi wa adhabu hiyo na CAF wamejiridhisha kuwa Kessy yuko huru kuitumikia Stars endapo mwalimu atahitaji kumtumia kwenye mechi ya kwanza ya AFCON dhidi ya Senegal itakayochezwa Jumapili.

MICHEZO YOTE YA AFCON 2019 TUTAIRUSHA MUBASHARA KUPITIA APP HII

No comments:

Post a Comment

Powered by Blogger.

Report Abuse

About Me

TAARIFA MPYA KUHUSU APP YETU KAMA BADO HUPATI HABARI ZETU

Habari!! Ni kipindi cha takribani wiki 1 kimepita ukiwa hupati habari, tunaomba radhi kwasababu tumekuwa tukifanya maboresho zaidi. Leo ...

Total Pageviews

Search This Blog

Blog Archive

Labels

Mobile Logo Settings

Mobile Logo Settings
image
recent/hot-posts

Random Posts

3/random/post-list

Recent Posts

3/recent/post-list