We are currently working on a new website.
Stay tuned for more information.

to stay updated on our progress.

Thursday, June 27, 2019

HIKI HAPA KIKOSI CHA TAIFA STARS KITAKACHO CHEZA LEO DHIDI YA KENYA

Muda mchache ujao, kikosi cha timu ya Taifa ya Tanzania 'Taifa Stars' kitashuka dimbani nchini Misri kuikabili Harambee Stars katika mchezo wa pili wa kundi C, michuano ya Afcon 2019

Kocha wa Tanzania Emmanuel Amunike ametumia mfumo wa 4-3-3 akiwajumuisha kiungo Erasto Nyoni, na washambuliaji Thomas Ulimwengu na Farid Mussa waliong'ara kwenye mchezo dhidi ya Senegal
Hiki hapa kikosi cha Stars;

1:Aishi Manula
 2:Hassan Kessy
3:Gadiel Michael
4:David Mwantika
5:Kelvin Yondani
6:Erasto Nyoni
7:Simon Msuva
8:Mudathir Yahya
9:Mbwana Samatta (C)
10::Thomas Ulimwengu
11:Faridi Mussa 

No comments:

Post a Comment

Powered by Blogger.

Report Abuse

About Me

TAARIFA MPYA KUHUSU APP YETU KAMA BADO HUPATI HABARI ZETU

Habari!! Ni kipindi cha takribani wiki 1 kimepita ukiwa hupati habari, tunaomba radhi kwasababu tumekuwa tukifanya maboresho zaidi. Leo ...

Total Pageviews

83347

Search This Blog

Blog Archive

Labels

Mobile Logo Settings

Mobile Logo Settings
image
recent/hot-posts

Random Posts

3/random/post-list

Recent Posts

3/recent/post-list