We are currently working on a new website.
Stay tuned for more information.

to stay updated on our progress.

Wednesday, May 29, 2019

ZAHERA AFUNGUKA KUHUSU YONDANI KUTEMWA YANGA

Kocha Mkuu wa Yanga Mwinyi Zahera amewahakikishia mashabiki wa timu hiyo kuwa beki mkongwe Kelvin Yondani atamaliza soka lake akiwa na timu hiyo
Zahera amesema amekuwa akizungumza na Yondani mara kwa mara na hawana tofauti yoyote
"Huwa nasimulia na Yondani mara kwa mara, nawahakikishia Yondani hawezi kuondoka Yanga," Zahera akiwaambia waandishi wa habari
"Nyie waandishi mnaandika sana vitu vya uongo kuhusu usajili, mara Bangala, mara Yanga inataka kusajili mchezaji wa TP Mazembe"
"Hili la Yondani nalo ni uongo, atafia Yanga"

No comments:

Post a Comment

Powered by Blogger.

Report Abuse

About Me

TAARIFA MPYA KUHUSU APP YETU KAMA BADO HUPATI HABARI ZETU

Habari!! Ni kipindi cha takribani wiki 1 kimepita ukiwa hupati habari, tunaomba radhi kwasababu tumekuwa tukifanya maboresho zaidi. Leo ...

Total Pageviews

Search This Blog

Blog Archive

Labels

Mobile Logo Settings

Mobile Logo Settings
image
recent/hot-posts

Random Posts

3/random/post-list

Recent Posts

3/recent/post-list