We are currently working on a new website.
Stay tuned for more information.

to stay updated on our progress.

Friday, May 31, 2019

YANGA YAMALIZANA NA GOLI KIPA KUTOKA KENYA

Mlinda lango wa Bandari Fc Farouq Shikalo amesaini mkataba wa miaka miwili kuitumikia Yanga, imefahamika
Inaelezwa Shikalo alipelekea mkataba nchini Kenya na mmoja wa Wajumbe wa Kamati ya usajili ya Yanga
Moja ya sharti lililowekwa kwenye mkataba wake ni yeye kuwa mlinda lango namba moja
Shikalo alikuwa akiwindwa na Yanga tangu wakati wa usajili wa dirisha dogo ambapo mchakato wake wa usajili mwezi Disemba ulikwama dakika za majeruhi
Mlinda lango huyo yuko kwenye kikosi cha timu ya Taifa ya Kenya Harambee Stars ambacho kinajiandaa na fainali za AFCON 2019

No comments:

Post a Comment

Powered by Blogger.

Report Abuse

About Me

TAARIFA MPYA KUHUSU APP YETU KAMA BADO HUPATI HABARI ZETU

Habari!! Ni kipindi cha takribani wiki 1 kimepita ukiwa hupati habari, tunaomba radhi kwasababu tumekuwa tukifanya maboresho zaidi. Leo ...

Total Pageviews

Search This Blog

Blog Archive

Labels

Mobile Logo Settings

Mobile Logo Settings
image
recent/hot-posts

Random Posts

3/random/post-list

Recent Posts

3/recent/post-list