We are currently working on a new website.
Stay tuned for more information.

to stay updated on our progress.

Wednesday, May 29, 2019

YANGA KUWEKA KAMBI CHINA

Yanga imejipanga kwelikweli kwa ajili ya msimu ujao.

Baada ya machungu ya takribani misimu miwili, furaha inakaribia kurejea Jangwani
Sikia hii, kocha mkuu wa mabingwa hao wa kihistoria Mwinyi Zahera amefichua kuwa wanatarajia kwenda nje ya nchi kufanya maandalizi ya msimu ujao

Maandalizi hayo yatafanyika China na yatachukua zaidi ya wiki tano
Baada ya kumalizika kwa fainali za AFCON zitakazofanyika Misri mwezi ujao, Yanga italekea China kuweka kambi

No comments:

Post a Comment

Powered by Blogger.

Report Abuse

About Me

TAARIFA MPYA KUHUSU APP YETU KAMA BADO HUPATI HABARI ZETU

Habari!! Ni kipindi cha takribani wiki 1 kimepita ukiwa hupati habari, tunaomba radhi kwasababu tumekuwa tukifanya maboresho zaidi. Leo ...

Total Pageviews

Search This Blog

Blog Archive

Labels

Mobile Logo Settings

Mobile Logo Settings
image
recent/hot-posts

Random Posts

3/random/post-list

Recent Posts

3/recent/post-list