We are currently working on a new website.
Stay tuned for more information.

to stay updated on our progress.

Wednesday, May 29, 2019

Watu 32 wagundulika kuwa na kipindupindu Dar


Watu 32 wamegundulika kuwa na ugonjwa wa Kipindupindu jijini Dar es Salaam ambapo Waziri wa Afya, Ummy Mwalimu ametembelea kambi ya wagonjwa hao iliyopo Hospitali ya Amana na kuwataka wananchi kuzingatia usafi na kuzitaka halmashauri kuongeza faini kutoka Sh30,000 hadi Sh200,000 kwa watakao chafua mazingira.

Hadi sasa Hospitali ya Amana ina wagonjwa 13, Mwananyamala (1), Temeke (18) huku mmoja akiripotiwa kufariki dunia.

No comments:

Post a Comment

Powered by Blogger.

Report Abuse

About Me

TAARIFA MPYA KUHUSU APP YETU KAMA BADO HUPATI HABARI ZETU

Habari!! Ni kipindi cha takribani wiki 1 kimepita ukiwa hupati habari, tunaomba radhi kwasababu tumekuwa tukifanya maboresho zaidi. Leo ...

Total Pageviews

Search This Blog

Blog Archive

Labels

Mobile Logo Settings

Mobile Logo Settings
image
recent/hot-posts

Random Posts

3/random/post-list

Recent Posts

3/recent/post-list