We are currently working on a new website.
Stay tuned for more information.

to stay updated on our progress.

Wednesday, May 29, 2019

Rutanga atajwa kuwaniwa na Yanga

Licha ya kuhusishwa na Simba, beki wa kushoto wa Yanga Gadiel Michael ataendelea kusalia kunako klabu ya Yanga akitarajiwa kusaini mkataba mpya wa kuendelea kuwatumikia mabingwa hao wa kihistoria
Hata hivyo Yanga huenda ikamletea Gadiel mshindani mwingine katika nafasi yake, ambapo mlinzi wa kushoto wa Rayon Sport Erick Rutanga anatajwa kuwaniwa na mabingwa hao wa kihistoria
Inaelezwa mkataba wa Rutanga na Rayon Sports umebakisha muda mfupi, utamalizika mwezi wa saba na huenda akatua Yanga baada ya mkataba huo kumalizika
Msimu huu Yanga imedhamiria kutumia vyema nafasi kumi za wachezaji wa kigeni ambapo Zahera alifichua kuwa wachezaji wote wa kigeni watakaosajiliwa ni lazima wawe wanacheza katika timu zao za Taifa
Tayari Yanga inadaiwa kukamilisha usajili wa wachezaji wawili wa Kimataifa kutoka Rwanda.
Kama atasajiliwa, Rutanga atakuwa mchezaji wa tatu kutoka nchini humo

No comments:

Post a Comment

Powered by Blogger.

Report Abuse

About Me

TAARIFA MPYA KUHUSU APP YETU KAMA BADO HUPATI HABARI ZETU

Habari!! Ni kipindi cha takribani wiki 1 kimepita ukiwa hupati habari, tunaomba radhi kwasababu tumekuwa tukifanya maboresho zaidi. Leo ...

Total Pageviews

Search This Blog

Blog Archive

Labels

Mobile Logo Settings

Mobile Logo Settings
image
recent/hot-posts

Random Posts

3/random/post-list

Recent Posts

3/recent/post-list