We are currently working on a new website.
Stay tuned for more information.

to stay updated on our progress.

Thursday, May 2, 2019

Msemaji wa Serikali azungumzia kifo cha Dkt. Reginald Mengi


Msemaji Mkuu wa Serikali, Dkt. Hassan Abbas ameeleza kuguswa na kifo cha Mwenyekiti wa Makampuni ya IPP, Dkt. Reginald Mengi. 

"Nimepokea kwa masikitiko taarifa za kifo cha Mwenyekiti wa IPP, Mzee Reginald Mengi. Kama alivyopata kusema yeye mwenyewe siku za uhai wake kuwa watu wanaoacha alama hawafi, basi mawazo, falsafa, ubunifu na kujitoa kwake vitaendelea kuishi nasi," ameeeleza Dkt. Abass. 

Taarifa rasmi zinaonyesha kuwa Mzee Reginald Abraham Mengi amefariki dunia akiwa huko Dubai (UAE). Mzee Mengi alizaliwa mwaka 1944 mkoani Kilimanjaro. 


ANGALIA FULL VIDEO HAPA CHINI.....USISAHAU KUSUBSCRIBE.....


No comments:

Post a Comment

Powered by Blogger.

Report Abuse

About Me

TAARIFA MPYA KUHUSU APP YETU KAMA BADO HUPATI HABARI ZETU

Habari!! Ni kipindi cha takribani wiki 1 kimepita ukiwa hupati habari, tunaomba radhi kwasababu tumekuwa tukifanya maboresho zaidi. Leo ...

Total Pageviews

Search This Blog

Blog Archive

Labels

Mobile Logo Settings

Mobile Logo Settings
image
recent/hot-posts

Random Posts

3/random/post-list

Recent Posts

3/recent/post-list