We are currently working on a new website.
Stay tuned for more information.

to stay updated on our progress.

Wednesday, May 29, 2019

Mabasi nchini yatakiwa kutopakia abiria wenye mifuko ya plastiki


Chama wa wamiliki wa mabasi(TABOA)kimewataka wamiliki wote wa mabasi nchini kuanzia juni mosi kutopakia abiria wenye mizigo inawekwa katika mifuko ya plastiki ili kutekeleza agizo na makamu wa rais pamoja na sheria na kanuni za mazingira zinazoanza utekelezaji wake juni mosi mwaka huu.

Akizungumza katika kituo kikuu cha mabasi Ubungo,baada ya serikali kutoa agizo mweka hazina wa (TABOA) amewataka madereva na makonda kutekeleza agizo hilo na kudai (TABOA) hakitakubali kumtetea mmiliki yeyote atakaye kaidi agizo la serikali kwa kuuruhusu abiria wenye mizigo iliyoweka kwenye mifuko ya plastiki.

Baada ya jiji la Dar es Salaam kuwa la kwanza kutekeleza agizo hilo baadhi ya wananchi wameitaka zoezi la kuzuia mifuko ya plastiki kwenda sambamba na uwekaji wa vituo vya kukusanya mifuko hiyo katika mitaa ili kuiondoa katika mazingira.

No comments:

Post a Comment

Powered by Blogger.

Report Abuse

About Me

TAARIFA MPYA KUHUSU APP YETU KAMA BADO HUPATI HABARI ZETU

Habari!! Ni kipindi cha takribani wiki 1 kimepita ukiwa hupati habari, tunaomba radhi kwasababu tumekuwa tukifanya maboresho zaidi. Leo ...

Total Pageviews

Search This Blog

Blog Archive

Labels

Mobile Logo Settings

Mobile Logo Settings
image
recent/hot-posts

Random Posts

3/random/post-list

Recent Posts

3/recent/post-list