We are currently working on a new website.
Stay tuned for more information.

to stay updated on our progress.

Wednesday, May 29, 2019

Kambi Rasmi ya Upinzani Bungeni Yapendekeza TANESCO Igawanywe

Kambi Rasmi ya Upinzani Bungeni imependekeza Shirika la Umeme Tanzania (Tanesco) kugawanywa na kuwa mashirika mawili ili kuepuka hasara.

Hayo yameelezwa  jana Jumanne Mei 28, 2019 na msemaji wa kambi hiyo wa Wizara ya Nishati, John Mnyika wakati akiwasilisha  maoni ya wapinzani bungeni.

Alisema kwa kipindi kirefu Tanesco inajiendesha kwa hasara, akitolea mfano kwamba  tangu utawala wa  Serikali ya Awamu ya Nne ilikuwa ikipata hasara ya Sh124 bilioni.

Alibainisha kuwa  takwimu zinaonyesha baada ya Serikali ya Awamu ya Tano kuingia madarakani, shirika hilo linapata hasara kubwa zaidi, kwamba  hadi  2017 ilipata hasara ya Sh346 bilioni sawa na ongezeko la Sh122 bilioni.

No comments:

Post a Comment

Powered by Blogger.

Report Abuse

About Me

TAARIFA MPYA KUHUSU APP YETU KAMA BADO HUPATI HABARI ZETU

Habari!! Ni kipindi cha takribani wiki 1 kimepita ukiwa hupati habari, tunaomba radhi kwasababu tumekuwa tukifanya maboresho zaidi. Leo ...

Total Pageviews

Search This Blog

Blog Archive

Labels

Mobile Logo Settings

Mobile Logo Settings
image
recent/hot-posts

Random Posts

3/random/post-list

Recent Posts

3/recent/post-list