We are currently working on a new website.
Stay tuned for more information.

to stay updated on our progress.

Tuesday, May 28, 2019

Kagera Sugar, African Lyon zashuka daraja

Kwa mjibu wa takwimu kutoka Bodi ya Ligi kabla ya michezo ya leo, tofauti ya mabao ya Stand United ilikuwa -9 na ya Kagera Sugar ilikuwa -11
Baada ya matokeo ya leo ambapo JKT Tanzania imeifunga Stand United mabao 2-0 huku Mbao Fc ikitoka sare ya bao 1-1 dhidi ya Kagera Sugar, timu hizo zinakuwa na tofauti sawa ya mabao -11
Matokeo ya michezo miwili timu hizo zilipokutana ndiyo yameamua ipi inapaswa kushuka daraja
Matokeo ya mchezo wa duru ya kwanza uliopigwa mkoani Shinyanga, Stand United na Kagera Sugar zilitoka sare ya bao 1-1 wakati Stand United ilishinda kwa mabao 3-1 mchezo wa duru ya pili uliopigwa Kagera
Kwa mjibu wa takwimu hizo African Lyon na Kagera Sugar zimeshuka daraja moja kwa moja na Stand United na Mwadui FC zinacheza Play Off dhidi ya Pamba Fc na Geita Gold

No comments:

Post a Comment

Powered by Blogger.

Report Abuse

About Me

TAARIFA MPYA KUHUSU APP YETU KAMA BADO HUPATI HABARI ZETU

Habari!! Ni kipindi cha takribani wiki 1 kimepita ukiwa hupati habari, tunaomba radhi kwasababu tumekuwa tukifanya maboresho zaidi. Leo ...

Total Pageviews

Search This Blog

Blog Archive

Labels

Mobile Logo Settings

Mobile Logo Settings
image
recent/hot-posts

Random Posts

3/random/post-list

Recent Posts

3/recent/post-list